Mimi ni shabik wa arsenal ila nitakuwa Aston villa kama tim mbadala kwa sababu ya mtanzania mwenzetu nakuombea kwa mungu akuwekee wepes katika kaz yako
pia nakushaur samatta weka akil mchezon pale unapo kuwa umepata nafas ya kufunga pambana nyumbu afe punda afe lakin mpira uingie nyavun mungu akutangulie
Bewalmory
226
Mimi ni shabik wa arsenal ila nitakuwa Aston villa kama tim mbadala kwa sababu ya mtanzania mwenzetu nakuombea kwa mungu akuwekee wepes katika kaz yako pia nakushaur samatta weka akil mchezon pale unapo kuwa umepata nafas ya kufunga pambana nyumbu afe punda afe lakin mpira uingie nyavun mungu akutangulie